Folkuini

Folkuini (pia: Folcwin, Folcuin, Folquinus, Folcwinus, Folcvinus, Folkwin, Folquin; alifariki Therouanne, Ufaransa wa leo, 15 Desemba 855) alikuwa mmonaki, halafu abati aliyechaguliwa mwaka 816 kuwa askofu wa mji huo [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Desemba[2].

  1. https://www.santiebeati.it/dettaglio/81420
  2. Martyrologium Romanum

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne