Franz Liszt

Franz Liszt mwaka 1858.

Franz Liszt (22 Oktoba 181131 Julai 1886) alikuwa mtunzi wa Opera na mpigakinanda mashuhuri kutoka nchini Hungaria.

Amefahamika sana kwa ujuzi wake wa upigaji kinanda kwa haraka zaidi na kuwa na maarifa ya juu katika fani hiyo.

Upande wa dini, alikuwa Mkristo wa Kanisa Katoliki, tena mwanachama wa Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne