Ibada ya Mamajusi (1423)
Bikira Maria katika Ibada ya Mamajusi (1423).
Gentile wa Fabriano (1370 hivi – 1427) alikuwa mchoraji wa Italia aliyefanya kazi hasa katika mkoa wa Toscana.
Michoro yake maarufu zaidi inawahusu Yesu na Bikira Maria, nayo ni Ibada ya Mamajusi (1423) na Kukimbilia Misri.