George Edwin King

George Edwin King

George Edwin King (8 Oktoba 18397 Mei 1901) alikuwa wakili na mwanasiasa wa Kanada, aliyepata kuwa waziri mkuu wa pili na wa nne wa New Brunswick, na jaji wa Mahakama Kuu ya Kanada.[1]

  1. "Goes to the Bar Above". The Ottawa Journal. 8 Mei 1901. uk. 9. Iliwekwa mnamo 27 Desemba 2016 – kutoka Newspapers.com.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne