Gervais Yao Kouassi

Gervinho
Maelezo binafsi
Jina kamili Gervais Yao Kouassi
Tarehe ya kuzaliwa 27 Mei 1987
Mahala pa kuzaliwa    Anyama, Ivory Coast
Urefu 1.79m
Nafasi anayochezea Mshambulizi
Maelezo ya klabu
Klabu ya sasa Lille OSC
Namba 27
Klabu za vijana
1998–2002
2002–2004
2004–2005
ASEC Abidjan
Toumodi
KSK Beveren
Klabu za ukubwani
Miaka Klabu
2005–2007
2007–2009
2009–
KSK Beveren
Le Mans
Lille OSC
Timu ya taifa
2007&ndash Ivory Coast

* Magoli alioshinda

Gervais Yao "Gervinho" Kouassi, (amezaliwa Ányama, 27 Mei 1987) ni mchezaji wa kandanda wa kimataifa wa Ivory Coast,ambaye anacheza kama mshambuliaji katika ligi ya Ufaransa Ligue 1 na klabu ya Lille OSC.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne