Gervinho | ||
![]() | ||
Maelezo binafsi | ||
---|---|---|
Jina kamili | Gervais Yao Kouassi | |
Tarehe ya kuzaliwa | 27 Mei 1987 | |
Mahala pa kuzaliwa | Anyama, Ivory Coast | |
Urefu | 1.79m | |
Nafasi anayochezea | Mshambulizi | |
Maelezo ya klabu | ||
Klabu ya sasa | Lille OSC | |
Namba | 27 | |
Klabu za vijana | ||
1998–2002 2002–2004 2004–2005 |
ASEC Abidjan Toumodi KSK Beveren | |
Klabu za ukubwani | ||
Miaka | Klabu | |
2005–2007 2007–2009 2009– |
KSK Beveren Le Mans Lille OSC | |
Timu ya taifa | ||
2007&ndash | Ivory Coast | |
* Magoli alioshinda |
Gervais Yao "Gervinho" Kouassi, (amezaliwa Ányama, 27 Mei 1987) ni mchezaji wa kandanda wa kimataifa wa Ivory Coast,ambaye anacheza kama mshambuliaji katika ligi ya Ufaransa Ligue 1 na klabu ya Lille OSC.