Gladys Bakubaku

Ntombezanele Gladys Bakubaku-Vos (alizaliwa 6 Juni 1966) ni mwanasiasa wa Afrika Kusini anayehudumu kama mjumbe wa bunge katika jimbo la Cape Magharibi tangu Mei, 2019. Alikuwa mshauri wa manispaa ya Stellenbosch ya serekali ndogo. Bakubaku Vos ni mjumbe wa chama cha Africa National Congress (ANC). Mai 5, 2020, Bakubaku-Vos alitangaza kuwa amepata virusi vya korona. [1]

  1. Gerber, Jan (5 May 2020). "Western Cape ANC MPL tests positive for Covid-19". News24. Retrieved 14 May 2020.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne