Greenland

Kalaallit Nunaat
Grønland
Grinilandi
Bendera ya Greenland Nembo ya Greenland
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa:
Wimbo wa taifa: Nunarput utoqqarsuanngoravit
Nuna asiilasooq
Lokeshen ya Greenland
Mji mkuu Nuuk (Godthåb)
64°10′ N 51°43′ W
Mji mkubwa nchini Nuuk (Godthåb)
Lugha rasmi {{{official_languages}}}
Serikali Demokrasia
(serikali ya kibunge ndani ya ufalme wa kikatiba)
Frederik X wa Denmark
Múte Bourup Egede 2021
Eneo la kujitawala
Kujitawala
1979 na zaidi 2009
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
2,166,086 km² (ya 12)
83.1a
Idadi ya watu
 - Machi 2022 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
56,583 (ya 210)
0.028/km² (ya 244)
Fedha Krone ya Denmark (DKK)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC0 to -4)
(UTC)
Intaneti TLD .gl
Kodi ya simu +299

-

a As of 2000: 410,449 km² (158,433 sq. miles) ice-free; 1,755,637 km² (677,676 sq. miles) ice-covered.
b 2001 estimate.


Greenland (kwa Kiswahili Grinilandi pia; kwa Kikalaallisut: Kalaallit Nunaat = Nchi ya Wagreenland) ni nchi ya kujitawala chini ya ufalme wa Denmark lakini haihesabiwi kuwa sehemu ya Denmark yenyewe.

Eneo la Greenland ni kubwa, lakini idadi ya wakazi ni ndogo sana kwa sababu sehemu kubwa ya nchi (75%) imefunikwa na ganda nene la barafu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne