| |||||
Kaulimbiu ya taifa: | |||||
Wimbo wa taifa: Nunarput utoqqarsuanngoravit Nuna asiilasooq | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Nuuk (Godthåb) | ||||
Mji mkubwa nchini | Nuuk (Godthåb) | ||||
Lugha rasmi | {{{official_languages}}} | ||||
Serikali | Demokrasia (serikali ya kibunge ndani ya ufalme wa kikatiba) Frederik X wa Denmark Múte Bourup Egede 2021 | ||||
Eneo la kujitawala Kujitawala |
1979 na zaidi 2009 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
2,166,086 km² (ya 12) 83.1a | ||||
Idadi ya watu - Machi 2022 kadirio - Msongamano wa watu |
56,583 (ya 210) 0.028/km² (ya 244) | ||||
Fedha | Krone ya Denmark (DKK )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC0 to -4) (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .gl | ||||
Kodi ya simu | +299
- | ||||
a As of 2000: 410,449 km² (158,433 sq. miles) ice-free; 1,755,637 km² (677,676 sq. miles) ice-covered. b 2001 estimate. |
Greenland (kwa Kiswahili Grinilandi pia; kwa Kikalaallisut: Kalaallit Nunaat = Nchi ya Wagreenland) ni nchi ya kujitawala chini ya ufalme wa Denmark lakini haihesabiwi kuwa sehemu ya Denmark yenyewe.
Eneo la Greenland ni kubwa, lakini idadi ya wakazi ni ndogo sana kwa sababu sehemu kubwa ya nchi (75%) imefunikwa na ganda nene la barafu.