Guru (rapa)

Guru

Maelezo ya awali
Amezaliwa 17 Julai 1966 (1966-07-17) (umri 58)
Asili yake Boston, Massachusetts
Aina ya muziki Hip Hop, Jazz
Kazi yake Rapa, Mtayarishaji
Miaka ya kazi 1987–2010
Studio Wild Pitch Records (1987–1990)
Virgin Records (1991–2003)
Ill Kid Records (1995-2005)
7 Grand (2003–2010)

Guru (amezaliwa kama Keith Edward Elam, mnamo 17 Julai 1966 - 19 Aprili 2010), mjini Roxbury,[1] alikuwa rapa wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Huyu ni mmoja kati ya waanzilishi na mwandishi mkuu wa kundi la hip hop la Gang Starr, akiwa pamoja na DJ Premier.

Kwa kufuatia mfululizo wake wa albamu ya Jazzmatazz, huyu pia anafikirika kama mmoja kati wa waanzilishi wa muziki wa hiphop/jazz. Jina la Guru linasimama kama "Gifted Unlimited Rhymes Universal" na kuna kipindi hutumia kama "God is Universal, au Ruler Universal".

  1. Several seemingly reliable sources state that he was born in 1966, e.g. Birchmeier, Jason "Gang Starr Biography", Allmusic, Macrovision Corporation, and "Afternoon Fix: Celebrity Birthdays", MTV, retrieved 23 Septemba 2008

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne