Hadubini

Mtaalamu akichungulia kwenye hadubini
Hadubini ya kawaida
1:Lenzi kwa jicho cha mtazamaji
2-3 lolenzi tatu kwa kukuza
4-5 mguu na gurudumu la fokasi
6 meza ya kiolwa (kinachotazamiwa)
7-8 taa inayoangaza kiolwa kwa chini; au kioo kinachokusanya nuru chini ya kiolwa kama hakuna umeme
Jicho la nzi jinsi inavyoonekana kwa hadubini

Hadubini (pia: darubini ya vidudu) ni kifaa cha kutazama vitu vidogo sana. Ni chombo muhimu cha sayansi kwa utafiti wa vitu ambavyo ni vidogo mno kwa jicho la binadamu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne