Hakainde Hichilema

Sergio Mattarella na Hakainde Hichilema mnamo 2022
Sergio Mattarella na Hakainde Hichilema mnamo 2022

Hakainde Hichilema (alizaliwa Monze, 4 Juni 1964) ni mfanyabiashara na rais mteule wa nchi ya Zambia, Alishinda urais katika uchaguzi wa mwaka 2021 baada ya kugombea mara sita - 2006, 2008, 2011, 2015, 2016 hadi kushinda mwaka 2021.[1] [2]

  1. Foundation, Thomson Reuters. "Zambian opposition leader Hakainde Hichilema wins presidential election". news.trust.org. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-08-16. Iliwekwa mnamo 16 Agosti 2021. {{cite web}}: |first= has generic name (help); More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Zambian opposition leader Hakainde Hichilema wins presidential election". Reuters (kwa Kiingereza). 16 Agosti 2021. Iliwekwa mnamo 16 Agosti 2021.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne