Helsinki






Helsinki

Nembo
Majiranukta: 60°10′N 26°56′E / 60.167°N 26.933°E / 60.167; 26.933
Nchi
Kaunti Helsinki
Idadi ya wakazi (2013)
 - Wakazi kwa ujumla 610 601
Tovuti:  www.hel.fi
Helsinki
Helsinki mjini
Wilaya ya Kalasatama na skyscrapers huko Helsinki mnamo Machi 2021
Itäkeskus

Helsinki (kwa Kiswidi: Helsingfors) ni mji mkuu wa Ufini na pia mji mkubwa nchini. Idadi ya wakazi ni 610,601 (2013) na kuna jumla ya milioni moja katika rundiko la mji.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne