Helsinki | |||
| |||
Majiranukta: 60°10′N 26°56′E / 60.167°N 26.933°E | |||
Nchi | |||
---|---|---|---|
Kaunti | Helsinki | ||
Idadi ya wakazi (2013) | |||
- Wakazi kwa ujumla | 610 601 | ||
Tovuti: www.hel.fi |
Helsinki (kwa Kiswidi: Helsingfors) ni mji mkuu wa Ufini na pia mji mkubwa nchini. Idadi ya wakazi ni 610,601 (2013) na kuna jumla ya milioni moja katika rundiko la mji.