Hidekeli

Mto wa Hidekeli
Hidekeli katika Uturuki karibu na mji Diyarbakir
Chanzo Milima ya Taurus katika Uturuki
Mdomo Ghuba ya Uajemi kwenye Shatt al Arab
Nchi Uturuki, Syria, Iraq
Urefu 1,900 km
Kimo cha chanzo ?? m
Tawimito Diyala, Zab, Al-Khabur
Mkondo 1500 m³/s (wastani)
Eneo la beseni 258,000 km²
Miji mikubwa kando lake Mosul, Tikrit, Baghdad

Mto Hidekeli (pia: Tigris; Kiajemi: tigr, kar.: دجلة, dijla, kituruki/Kikurdi: dicle, Kiaramu: deqlath, Kiebrania: חידקל hidekel) ni mto wa Asia ya magharibi. Pamoja na Frati ni mto mkubwa wa Mesopotamia.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne