Chanzo | Milima ya Taurus katika Uturuki |
Mdomo | Ghuba ya Uajemi kwenye Shatt al Arab |
Nchi | Uturuki, Syria, Iraq |
Urefu | 1,900 km |
Kimo cha chanzo | ?? m |
Tawimito | Diyala, Zab, Al-Khabur |
Mkondo | 1500 m³/s (wastani) |
Eneo la beseni | 258,000 km² |
Miji mikubwa kando lake | Mosul, Tikrit, Baghdad |
Mto Hidekeli (pia: Tigris; Kiajemi: tigr, kar.: دجلة, dijla, kituruki/Kikurdi: dicle, Kiaramu: deqlath, Kiebrania: חידקל hidekel) ni mto wa Asia ya magharibi. Pamoja na Frati ni mto mkubwa wa Mesopotamia.