Homer

Sanamu hii ya Homer inapatkana katika makumbusho ya Kiingereza London; ni mwigo wa Kiroma wa mfano wa Kigiriki
Homer (William Bouguereau, 1874)

Homeri (pia: Homer; kwa Kigiriki: Ὅμηρος homeros) ni jina la mshairi mashuhuri kabisa wa Ugiriki ya Kale. Mashairi makubwa yanayosimulia vita vya Troya (Ilias) na misafara ya mfalme Odiseo (Utenzi wa Odisei) yamehifadhiwa kama kazi zake.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne