Ibzan (kwa Kiebrania אִבְצָן, ’Iḇṣān, maana yake "mashuhuri"[1]) alikuwa mmojawapo kati ya Waamuzi wa Biblia.
Kadiri ya Waamuzi 12:8-10 alikuwa wa Bethlehemu[2] akaongoza Israeli kwa miaka 7[3].
Alikuwa na watoto 30 wa kiume na 30 wa kike.
Waamuzi 12 na wengineo |
---|
{{cite journal}}
: Cite journal requires |journal=
(help)