Ikulu ya Kenya

Ikulu ya Nairobi
Mkurugenzi Mkuu wa WTO Roberto Azevêdo na Rais Uhuru Kenyatta, katika Ikulu (2014)

Ikulu ya Kenya ni makazi rasmi ya Rais wa Kenya. Ilikuwa ni makazi ya Waziri Mkuu wa Kenya kutoka uhuru, tarehe 12 Disemba 1963 hadi Kenya ilipogeuka kuwa jamhuri tarehe 12 Disemba 1964. Imekuwa makazi ya rais tangu siku ya kutangaza jamhuri.[1]

  1. "Nairobi fact file: Things you did not know about State House and other landmark buildings in Nairobi Ilihifadhiwa 16 Agosti 2016 kwenye Wayback Machine.", SDE, ilipatikana 21-03-2018

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne