Injili Ndugu

Injili Ndugu (zinaitwa pia Injili sinoptiki) ni Injili 3 za kwanza katika Agano Jipya ya Biblia ya Kikristo ambazo ni:

Injili hizo tatu zinafanana katika lugha na yaliyomo zikitofautishwa na Injili ya Yohane inayoonekana kutumia lugha kiasi tofauti na kufuata muundo tofauti katika taarifa yake juu ya Yesu kuliko zile za sinoptiki.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne