| |||||
Kaulimbiu ya taifa: (hakuna) | |||||
Wimbo wa taifa: Lofsöngur | |||||
Mji mkuu | Reykjavík | ||||
Mji mkubwa nchini | Reykjavík | ||||
Lugha rasmi | Kiisilandi | ||||
Serikali | Jamhuri Guðni Th. Jóhannesson Katrín Jakobsdóttir | ||||
Uhuru kujitawala Jamhuri |
1. 12. 1918 17. 06. 1944 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
102,775 km² (ya 108) 2.7 | ||||
Idadi ya watu - Januari 2016 kadirio - Desemba 1970 sensa - Msongamano wa watu |
332,529 (ya 182) 204,930 3.2/km² (ya 235) | ||||
Fedha | Króna ya Iceland (ISK )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
GMT (UTC+0) None (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .is | ||||
Kodi ya simu | +354
- |
Isilandi (pia: Aisilandi; maana kwa Kiisilandi: "Nchi ya barafu") ni nchi ya Ulaya kwenye kisiwa cha Bahari ya Atlantiki ya kaskazini. Iko km 300 kutoka Grinilandi upande wa magharibi na km 1,000 kutoka Norwei upande wa mashariki.
Eneo lake ni km² 103,000 lakini idadi ya watu ni laki tatu pekee.
Ingawa Isilandi si sehemu ya rasi ya Skandinavia, inahesabiwa kati ya nchi za Skandinavia.