Isilandi

Lýðveldið Ísland
Jamhuri ya Isilandi
Bendera ya Isilandi Nembo ya Isilandi
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: (hakuna)
Wimbo wa taifa: Lofsöngur
Lokeshen ya Isilandi
Mji mkuu Reykjavík
64°08′ N 21°56′ W
Mji mkubwa nchini Reykjavík
Lugha rasmi Kiisilandi
Serikali Jamhuri
Guðni Th. Jóhannesson
Katrín Jakobsdóttir
Uhuru
kujitawala
Jamhuri

1. 12. 1918
17. 06. 1944
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
102,775 km² (ya 108)
2.7
Idadi ya watu
 - Januari 2016 kadirio
 - Desemba 1970 sensa
 - Msongamano wa watu
 
332,529 (ya 182)
204,930
3.2/km² (ya 235)
Fedha Króna ya Iceland (ISK)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
GMT (UTC+0)
None (UTC)
Intaneti TLD .is
Kodi ya simu +354

-


Ramani ya Isilandi

Isilandi (pia: Aisilandi; maana kwa Kiisilandi: "Nchi ya barafu") ni nchi ya Ulaya kwenye kisiwa cha Bahari ya Atlantiki ya kaskazini. Iko km 300 kutoka Grinilandi upande wa magharibi na km 1,000 kutoka Norwei upande wa mashariki.

Eneo lake ni km² 103,000 lakini idadi ya watu ni laki tatu pekee.

Ingawa Isilandi si sehemu ya rasi ya Skandinavia, inahesabiwa kati ya nchi za Skandinavia.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne