Italia ya Kati

Italia ya Kati ni sehemu ya Italia bara[1] inayoundwa na mikoa ya Lazio, Marche, Toscana na Umbria.

Kwa jumla ni km2 58,052 na wakazi 12,068,519[2]

  1. http://epp.eurostat.ec.europa.eu/portal/page/portal/nuts_nomenclature/introduction
  2. "Dato Istat al 30/11/2014". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-09-16. Iliwekwa mnamo 2017-03-07.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne