Jacob Zuma | |
![]() | |
Rais wa Afrika Kusini (2009-2018)
| |
Deputy | Kgalema Motlanthe Cyril Ramaphosa |
---|---|
mtangulizi | Kgalema Motlanthe |
aliyemfuata | Cyril Ramaphosa |
Rais wa African National Congress (2007-2017)
| |
Deputy | Kgalema Motlanthe Cyril Ramaphosa |
mtangulizi | Thabo Mbeki |
aliyemfuata | Cyril Ramaphosa |
Makamu wa Rais wa Afrika Kusini (1999-2005)
| |
Rais | Thabo Mbeki |
mtangulizi | Thabo Mbeki |
aliyemfuata | Phumzile Mlambo-Ngcuka |
tarehe ya kuzaliwa | 12 Aprili 1942 Nkandla, Afrika Kusini |
chama | African National Congress |
ndoa | Gertrude Sizakele Khumalo (1973–) Kate Mantsho (1976–2000) Nkosazana Dlamini (1982–1998) Nompumelelo Ntuli (2008–) Thobeka Mabhija (2010–) Gloria Bongekile Ngema (2012–) |
watoto | 20 |
Jacob Gedleyihlekisa Zuma (* 12 Aprili 1942) alikuwa Rais wa Afrika Kusini tangu mwaka 2009 hadi 2018, alipojiuzulu.
Alikuwa makamu wa rais Thabo Mbeki kati ya 1999 na 2005.
Tangu Desemba 2007 hadi 2017 alikuwa mwenyekiti wa chama tawala cha ANC.