Jazz

Louis Armstrong aliyeitwa "Mfalme wa Jazz"
Bendi ya King & Carter Jazzing Orchestra ilikuwa kati ya kindi za kwanza za Jazz mjini Houston Texas

Jazz ni aina ya muziki iliyoanzishwa nchini Marekani. Jazz huunganisha tabia za muziki ya Kiafrika pamoja na tabia za muziki ya Ulaya.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne