Jean Leloup (alizaliwa 14 Mei 1961) ni msanii na mwandishi wa nyimbo kutoka Kanada anayezungumza Kifaransa kutoka Sainte-Foy, Quebec, Kanada.
Anajulikana sana kwa jina hilo la kisanii la Kifaransa ambalo hupenda kulitafsiri kama John the Wolf, yaani Yohane Bweha, ingawa mwaka 2006 hadi Agosti 2008 alilibadili kuwa Jean Leclerc.[1][2]
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)