Jeradi wa Toul (pia: Gerhard, Geraud; Koln, Ujerumani, 935 hivi; Toul, leo nchini Ufaransa, 23 Aprili 994[1][2]) alikuwa askofu wa mji huo kwa miaka 31, aliyetunga sheria bora akitetea haki na uhuru wa Kanisa dhidi ya serikali, akisaidia kiroho na kimwili fukara na monasteri, pamoja na kuzuia kwa sala na saumu uenezi wa tauni [1][2][3][4].
Papa Leo IX alimtangaza mtakatifu tarehe 21 Oktoba 1050.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Aprili[5].
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
{{cite encyclopedia}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)