Jimbo katoliki la Ifakara (kwa Kilatini "Dioecesis Ifakarensis") ni mojawapo kati ya majimbo 34 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.
Makao makuu yako mjini Ifakara.
Kikanisa linahusiana na jimbo kuu la Dar-es-Salaam.
Askofu wake ni Salutaris Melchior Libena.