Jimmy Carter

Jimmy Carter


Muda wa Utawala
January 20, 1977 – January 20, 1981
Makamu wa Rais Walter Mondale
mtangulizi Gerald Ford
aliyemfuata Ronald Reagan

tarehe ya kuzaliwa 1 Oktoba 1924
tarehe ya kufa 29 Desemba 2024
chama Democratic
ndoa Rosalynn Smith (m. 1946–present) «start: (1946-07-07)»"Marriage: Rosalynn Smith to Jimmy Carter" Location: (linkback://sw.wikipedia.orgview_html.php?sq=&lang=sw&q=Jimmy_Carter)
makazi Plains, Georgia, Marekani
dini Ukristo
signature

James Earl Carter, Jr (1 Oktoba 192429 Desemba 2024) alikuwa Rais wa 39 wa Marekani kuanzia mwaka wa 1977 hadi 1981. Kaimu Rais wake alikuwa Walter Mondale. Akiwa mwanachama wa chama cha Democratic, alikuwa rais aliyeishi muda mrefu zaidi katika historia ya Marekani, na wa kwanza kufikia umri wa miaka 100. Carter alizaliwa na kukulia katika Plains, Georgia. Alihitimu kutoka Jeshi la Marekani, Naval Academy mwaka 1946. Carter alirudi nyumbani baada ya utumishi wake wa kijeshi na kuanzisha tena biashara ya familia yake ya kukuza karanga. Alipinga ubaguzi wa rangi, aliunga mkono kuongezeka kwa harakati za haki za kiraia kama mwanasiasa wa Georgia.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne