Jina la Bayer

Jina la Bayer (kwa Kiingereza Bayer designation) ni utaratibu wa kutaja nyota ulioanzishwa na mwanaastronomia Mjerumani Johann Bayer katika karne ya 17 na kutumiwa hadi leo kwa kutaja nyota angavu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne