John William Colenso

John William Colenso

Amezaliwa 24 Januari 1814
Uingereza
Amekufa 20 Juni 1883
Kazi yake Askofu

John William Colenso (24 Januari 1814 - 20 Juni 1883) alikuwa askofu wa Kanisa Anglikana kutoka Uingereza aliyeishi na kufanya kazi nchini Afrika Kusini tangu 1853. Alichunguza na kuandika juu ya lugha ya Kizulu pamoja na maandiko ya kidini na vitabu vingi kuhusu maisha nchini Afrika Kusini.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne