Joseph Mukwaya

Joseph Mukwaya (26 Septemba 19305 Septemba 2008) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki kutoka Uganda aliyekuwa Askofu wa Jimbo Katoliki la Kiyinda-Mityana kuanzia 21 Juni 1988 hadi alipojiuzulu kwa sababu za kiafya mnamo 23 Oktoba 2004. Alifariki dunia mnamo 5 Septemba 2008, wiki tatu kabla ya kutimiza miaka 78, akiwa Askofu Mstaafu wa Jimbo la Kiyinda-Mityana, Uganda.[1]

  1. David M. Cheney (18 Novemba 2020). "MicroData Summary for Joseph Anthony Zziwa". Kansas City, United States: Catholic-Hierarchy.org. Iliwekwa mnamo 4 Aprili 2021.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne