Joshua King

Joshua King.

Joshua Christian King (alizaliwa 15 Januari 1992) ni mchezaji wa soka wa Norway ambaye anacheza kama mshambuliaji wa Klabu ya Ligi kuu ya Uingereza iitwayo AFC Bournemouth na timu ya taifa ya Norway.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne