Judo

Mashindano ya Judo

Judo (jap. 柔道 jūdō) aina ya michezo ya mapigano kutoka nchini Japan iko pia kati ya michezo ya Olimpiki.[1] Ilianzishwa mwaka 1882 na Jigorō Kanō.[2] Mieleka inashindaniwa kimataifa leo na judo ndiyo aina inayoshindaniwa zaidi kimataifa ya mieleka jaketi.


Judo ni mchezo wa kifalsafa unaoathiriwa na mafundisho ya Ubuddha. kati ya misingi yake si kumshambulia mpinzani lakini kutumia nguvu ya mpinzani kw kumshinda.[3]

  1. Nussbaum, Louis-Frédéric. (2005). "Judo" in Japan Encyclopedia, p. 435.
  2. Nussbaum, "Kanō Jigorō " at p. 477.
  3. Ohlenkamp, Neil. "Forms of Judo (Kata)," JudoInfo.com; retrieved 2012-2-27.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne