Kabinda

Ramani ya Angola pamoja na Kabinda.
Ramani ya Mkoa wa Kabinda

Kabinda (pia: Cabinda, Chioua) ni mji uliopo kaskazini magharibi mwa nchi ya Angola katika mkoa wa Kabinda. Ndio mji mkuu wa mkoa.

Mwaka 2014 idadi ya watu ilikuwa 624,646.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne