Kalasinga

Guru Nanaki muanzilishi wa ukalasinga

Kalasinga (Kipunjabi ਸਿੱਖੀ sikhi; pia: Usikhi) ni dini yenye asili ya Uhindi inayomwabudu Mungu mmoja tu. Wafuasi wake huitwa Kalasinga au Sikh na kitabu kitakatifu chao ni Guru Granth Sahib.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne