Kalasinga (Kipunjabi ਸਿੱਖੀ sikhi; pia: Usikhi) ni dini yenye asili ya Uhindi inayomwabudu Mungu mmoja tu. Wafuasi wake huitwa Kalasinga au Sikh na kitabu kitakatifu chao ni Guru Granth Sahib.
Developed by Nelliwinne