Kali (kalium; potassium) | |
---|---|
Jina la Elementi | Kali (kalium; potassium) |
Alama | K |
Namba atomia | 19 |
Mfululizo safu | Metali alikali |
Uzani atomia | 39.098 |
Densiti | 0.89 |
Ugumu (Mohs) | {{{ugumu}}} |
Kiwango cha kuyeyuka | 336.53 K (63.38 °C) |
Kiwango cha kuchemka | 1032 K (759 °C) |
Asilimia za ganda la dunia | 2.4 % |
Hali maada | imara |
Kali (pia: potasiamu, ing. potassium) ni elementi na metali alikali yenye namba atomia 19 kwenye mfumo radidia na uzani atomia 39.098. Alama yake ni K.