Kanisa la Wakaldayo

Patriarki mstaafu, kardinali Emmanuel III Delly.
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Kanisa Katoliki la Wakaldayo (kwa Kiaramu ܥܕܬܐ ܟܠܕܝܬܐ ܩܬܘܠܝܩܝܬܐ , ʿītha kaldetha qāthuliqetha) ni mojawapo kati ya Makanisa Katoliki ya Mashariki, likifuata mapokeo ya Mesopotamia na kutumia liturujia ya Mesopotamia[1].

Idadi ya waamini leo ni zaidi ya 600,000[2] [3], wengi wao wakiwa wenyeji wa Mesopotamia.

  1. "TQ & A on the Reformed Chaldean Mass". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2009-01-02. Iliwekwa mnamo 2009-02-07.
  2. Ronald Roberson. "The Eastern Catholic Churches 2010" (PDF). Catholic Near East Welfare Association. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2015-09-23. Iliwekwa mnamo Desemba 2010. {{cite web}}: Check date values in: |accessdate= (help) Information sourced from Annuario Pontificio 2010 edition
  3. "CNEWA - Chaldean Catholic Church". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2010-03-16. Iliwekwa mnamo 2012-10-16.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne