Karen Pini

Karen Jo Pini (alizaliwa tarehe 30 Julai 1957)[1] Ni mwigizaji, Mwanamitindo, Mtu mashuhuri wa televisheni, na mshindi wa taji la mashindano ya urembo kutoka Australia. Aliiwakilisha nchi yake katika mashindano ya Miss World mwaka 1976 yaliyofanyika London Uingereza na kumaliza katika nafasi ya pili. Pia alikuwa centerfold aliyejitokeza uchi katika toleo la kwanza la jarida la Australian Playboy la Australia mnamo Februari 1979. Pini pia alikuwa mshirika mwenza wa droo ya bahati nasibu ya New South Wales iliyokuwa ikirushwa kwenye televisheni kila wiki kwa miaka kumi na miwili.[2][3]

  1. "You wanted to know with Kevin Schluter". The Australian Women's Weekly. National Library of Australia. 26 Novemba 1980. uk. 178 Supplement: Free Your TV magazine. Iliwekwa mnamo 26 Machi 2014.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Tisdell, Lisa (23 Oktoba 2013). "Karen Pini finds her Home in the Haven". Port Macquarie News. Fairfax Media. Iliwekwa mnamo 25 Machi 2014.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. "In Brief". Canberra Times. National Library of Australia. 10 Machi 1976. uk. 3. Iliwekwa mnamo 26 Machi 2014.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne