Kaunti ya Kiambu

Kuhusu mji, soma Kiambu
Kaunti ya Kiambu
Kaunti
Bonde la Ufa katika barabara kuu ya Nairobi-Nakuru, Lari
Bendera
Kaulimbiu: ""
Kiambu County in Kenya.svg
Kaunti ya Kiambu katika Kenya
Nchi Kenya
IlianzishwaMachi 4th 2013
Ilitanguliwa naMkoa wa Kati
Mji mkuuKiambu
Miji mingine
Serikali
GavanaFerdinand Waititu
Naibu wa GavanaDkt. James Nyoro
SenetaKimani Wamatangi
Mwakilishi wa wanawakeGathoni wa Muchomba
BungeBunge la Kaunti ya Kiambu
SpikaStephen Ndichu[1]
Wawakilishi Wadi60[2]
Maeneo bunge12
Eneo
Jumlakm2 2 538.6 (sq mi 980.2)
Idadi ya Watu
Jumla2,417,735
Msongamano952
Majira ya SaaSaa za Afrika Mashariki (UTC+3)
Tovuti
kiambu.go.ke

Kaunti ya Kiambu ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Ilikuwa mojawapo ya wilaya za Kenya katika Mkoa wa Kati baada ya nchi kupata uhuru.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 2,417,735 katika eneo la km2 2,538.6, msongamano ukiwa hivyo wa watu 952 kwa kilometa mraba[3].

Kupakana na Nairobi kumeifanya iwe na idadi ya wakazi wengi mijini, kwa sababu ya maendeleo katika sekta ya mali yasiyohamishika. Sekta za viwanda na ukulima pia zimechangia kukuza kaunti hii kiuchumi.

Makao makuu ya kaunti hii ni mji wa Kiambu. Hata hivyo, utendaji wa kaunti hutekeleza majukumu yake kutoka Thika, ambayo wilaya yake imemezwa tena na Kiambu (2010).

  1. http://www.nation.co.ke/counties/Kiambu/Stephen-Ndichu-Kiambu-Speaker/1183274-4087286-7a5c2kz/index.html
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-12-03. Iliwekwa mnamo 2017-11-29.
  3. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne