Kaunti ya Kilifi | |||||
---|---|---|---|---|---|
Kaunti | |||||
| |||||
Kaulimbiu: "" | |||||
Kilifi County in Kenya.svg![]() Kaunti ya Kilifi katika Kenya | |||||
Nchi | ![]() | ||||
Nambari | 3 | ||||
Ilianzishwa | Tarehe 4 Machi, 2013 | ||||
Ilitanguliwa na | Mkoa wa Pwani | ||||
Mji mkuu | Kilifi | ||||
Miji mingine | Malindi | ||||
Serikali | |||||
Gavana | Amason Jefa Kingi | ||||
Naibu wa Gavana | Gideon Edmund Saburi | ||||
Seneta | Stewart Mwachiru Shadrach Madzayo | ||||
Mwakilishi wa wanawake | Getrude Mbeyu Mwanyanje | ||||
Bunge | Bunge la Kaunti ya Kilifi | ||||
Spika | Jimmy Kahindi | ||||
Wawakilishi Wadi | 35 | ||||
Maeneo bunge | 7 | ||||
Eneo | |||||
Jumla | km2 12 539.7 (sq mi 4 841.6) | ||||
Idadi ya Watu | |||||
Jumla | 1,453,787 | ||||
Msongamano | 116 | ||||
Majira ya Saa | Saa za Afrika Mashariki (UTC+3) | ||||
Tovuti kilifi.go.ke |
Kaunti ya Kilifi ni kaunti nchini Kenya katika eneo la Mkoa wa Pwani wa awali. Ilianzishwa mwaka 2010 kwa kuunganisha wilaya za Kilifi na Malindi.
Eneo lake ni km² 12,539.7. Eneo hilo lilikuwa na wakazi 1,453,787 wakati wa sensa ya mwaka 2019, msongamano ukiwa hivyo wa watu 116 kwa kilometa mraba[1].
Mji mkuu uko Kilifi lakini mji mkubwa zaidi ni Malindi.
Kiongozi wa serikali yake ni gavana anayechaguliwa na wananchi.
Eneo la kaunti liko upande wa kaskazini na kaskazini-mashariki ya Mombasa. Sehemu zinazotembelewa na watalii ni hasa Kikambala, Watamu, Malindi na Kilifi.