Kaunti ya Kisumu

Ramani ya Kaunti ya Kisumu, Kenya
Uwanja wa ndege wa Kisumu, kenya

Kaunti ya Kisumu ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 1,155,574 katika eneo la km2 2,085.4, msongamano ukiwa hivyo wa watu 554 kwa kilometa mraba[1].

Makao makuu yako Kisumu.

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne