Kaunti ya Narok ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.
Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 1,157,873 katika eneo la km2 17,950.3, msongamano ukiwa hivyo wa watu 65 kwa kilometa mraba[1].
Makao makuu yako Narok.
Mara Triangle (ambayo ni sehemu ya hifadhi ya Masai Mara) imo katika eneo la Trans-Mara.