Kaunti ya Nyandarua

Kaunti ya Nyandarua
Kaunti
Bendera Nembo ya Serikali
Nyandarua County in Kenya.svg
Kaunti ya Nyandarua katika Kenya
Nchi Kenya
Namba18
IlianzishwaTarehe 4 Machi, 2013
Ilitanguliwa naMkoa wa Kati
Makao MakuuOl Kalou
Miji mingineOl Joro Orok, Kipipiri
GavanaFrancis Thuita Kimemia,EGH, CBS, HSC
Naibu wa GavanaCecilia Wanjiru Mbuthia
SenetaPaul Githiomi Mwangi
Mbunge Mwanamke(Bunge la Taifa)Faith Wairimu Gitau
Bunge la KauntiBunge la Kaunti ya Nyandarua
Wawakilishi wa Bunge la Kaunti waliochaguliwa25
Maeneo bunge/Kaunti ndogo5
Eneokm2 3 285.7 (sq mi 1 268.6)
Idadi ya watu638,289
Wiani wa idadi ya watu194
Kanda mudaSaa za Afrika Mashariki (UTC+3)
Tovutinyandarua.go.ke

Kaunti ya Nyandarua ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 638,289 katika eneo la km2 3,285.7, msongamano ukiwa hivyo wa watu 194 kwa kilometa mraba[1].

Makao makuu ya Kanti ya Nyandarua yako kwenye mji wa Ol Kalou.

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne