Kaunti ya Wajir

Kaunti ya Wajir
Kaunti
Nembo ya Serikali
Kaulimbiu: ""
Wajir County in Kenya.svg
Kaunti ya Wajir katika Kenya
Coordinates: 1°44′50″N 40°04′08″E / 1.74722°N 40.0689°E / 1.74722; 40.0689
Nchi Kenya
Nambari8
IlianzishwaTarehe 4 Machi, 2013
Ilitanguliwa naMkoa wa Kaskazini Mashariki
Mji mkuuWajir
Miji mingineHabaswein, Tarba
Serikali
GavanaBalozi Mohamed Abdi Mahamud EGH
Naibu wa GavanaAhmed Muktar Ali
SenetaAbdullahi Ibrahim Ali
Mwakilishi wa wanawakeFatuma Gedi Ali
BungeBunge la Kaunti ya Wajir
Maeneo bunge
Eneo
Jumlakm2 56 773.1 (sq mi 21 920.2)
Idadi ya Watu
Jumla781,263[1].
Msongamano14
Majira ya SaaSaa za Afrika Mashariki (UTC+3)
Tovuti
wajir.go.ke

Kaunti ya Wajir ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 781,263 katika eneo la km2 56,773.1, msongamano ukiwa hivyo wa watu 14 kwa kilometa mraba[2]..

Makao makuu yako Wajir.

  1. www.knbs.or.ke
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-29.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne