Kaunti ya West Pokot

Kaunti ya West Pokot
Kaunti
Wanawake Wapokot wakiwa Kapenguria, Pokot Magharibi
Bendera Nembo ya Serikali
Kaulimbiu: ""
West Pokot County in Kenya.svg
Kaunti ya West Pokot katika Kenya
Coordinates: 1°14′00″N 35°07′00″E / 01.23333°N 035.1167°E / 01.23333; 035.1167
Nchi Kenya
Nambari24
IlianzishwaMarch 4, 2013
Ilitanguliwa naMkoa wa Bonde la Ufa
Mji mkuuKapenguria
Miji mingine
Serikali
GavanaProf. John Krop Lonyangapuo
Naibu wa GavanaDkt. Nicholas Owon Atudonyang
SenetaSamuel Losuron Poghisio
Mwakilishi wa wanawakeLilian Tomitom
BungeBunge la Kaunti ya West Pokot
SpikaCatherine Mukenyang
Wawakilishi Wadi20
Maeneo bunge4
Eneo
Jumlakm2 9 123.2 (sq mi 3 522.5)
Idadi ya Watu
Jumla621,241
Msongamano68
Majira ya SaaSaa za Afrika Mashariki (UTC+3)
Tovuti
http://westpokot.go.ke

Kaunti ya West Pokot ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 621,241 katika eneo la km2 9,123.2, msongamano ukiwa hivyo wa watu 68 kwa kilometa mraba[1]..

Makao makuu yako Kapenguria.

Inajulikana kwa kuwa na bwawa la uzalishaji umeme la pekee lililo kaskazini mwa Bonde la Ufa liitwalo Turkwell. Pia, Makumbusho ya Kapenguria yapo katika kaunti hii, ambapo wapigania uhuru sita walikamatwa na kufungwa jela na serikali ya kikoloni wakati wa hali ya hatari mwaka 1952.

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne