Kericho

Kericho, Kenya
Kericho
Kericho is located in Kenya
Kericho
Kericho

Mahali pa mji wa Kericho katika Kenya

Majiranukta: 0°22′0″S 35°18′0″E / 0.36667°S 35.30000°E / -0.36667; 35.30000
Nchi Kenya
Kaunti Kericho
Idadi ya wakazi (2009)
 - Wakazi kwa ujumla 103,911

Kericho ni mji wa Kenya ya kusini magharibi na makao makuu ya kaunti ya Kericho katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki wenye wakazi 42,029 ambao pamoja na vitongoji wa nje hufikia 104,282 kwa eneo kubwa la mji[1].

  1. Sensa ya Kenya 2009 Ilihifadhiwa 9 Januari 2019 kwenye Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne