Kericho | |
Mahali pa mji wa Kericho katika Kenya |
|
Majiranukta: 0°22′0″S 35°18′0″E / 0.36667°S 35.30000°E | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Kericho |
Idadi ya wakazi (2009) | |
- Wakazi kwa ujumla | 103,911 |
Kericho ni mji wa Kenya ya kusini magharibi na makao makuu ya kaunti ya Kericho katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki wenye wakazi 42,029 ambao pamoja na vitongoji wa nje hufikia 104,282 kwa eneo kubwa la mji[1].