Kiai-Cham

Kiai-Cham ni lugha ya Kitai-Kadai nchini Uchina inayozungumzwa na Wabouyei. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kiai-Cham imehesabiwa kuwa watu 2700. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kiai-Cham iko katika kundi la Kikam-Sui.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne