Kibasap

Kibasap ni lugha ya Kiaustronesia nchini Indonesia inayozungumzwa na Wabasap kwenye kisiwa cha Kalimantan. Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kibasap imehesabiwa kuwa watu 15,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kibasap iko katika kundi la Kiborneo-Kaskazini.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne