Kibenga

Kibenga ni lugha ya Kibantu nchini Guinea ya Ikweta na Gabon inayozungumzwa na Wabenga. Mwaka wa 1995, idadi ya wasemaji ya Kibenga nchini Guinea imehesabiwa kuwa watu 3000; na mwaka wa 2004 idadi nchini Gabon imehesabiwa kuwa watu 1100. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kibenga iko katika kundi la A30.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne