Kicherepon ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Ghana inayozungumzwa na Wacherepon. Mwaka wa 2003 idadi ya wasemaji wa Kicherepon imehesabiwa kuwa watu 111,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kicherepon iko katika kundi la Kikwa.
Developed by Nelliwinne