Kidungmali

Kidungmali ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Nepal inayozungumzwa na Wadungmali. Mwaka wa 2011 idadi ya wasemaji wa Kidungmali imehesabiwa kuwa watu 6260. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kidungmali iko katika kundi la Kihimalaya.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne