Kikrache

Kikrache ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Ghana inayozungumzwa na Wakrache. Mwaka wa 2004 idadi ya wasemaji wa Kikrache imehesabiwa kuwa watu 58,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kikrache iko katika kundi la Kikwa.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne