Kimandinka

Kimandinka.

Kimandinka ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Senegal, Gambia na Guinea-Bisau inayozungumzwa na Wamandinka. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kimandinka imehesabiwa kuwa watu 669,000 nchini Senegal, 510,000 nchini Gambia, na 167,000 nchini Guinea-Bisau. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kimandinka iko katika kundi la Kimande.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne