Kimelo ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Ethiopia inayozungumzwa na Wamelo. Mwaka wa 1994 idadi ya wasemaji wa Kimelo imehesabiwa kuwa watu 20,200. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kimelo iko katika kundi la Kiomotiki.
Developed by Nelliwinne